Iran imelaani vikali shambulio kubwa la anga la utawala haramu Israel kwenye maeneo ya makazi katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut, kwa kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano ambayo yalifikiwa kati ya utawala huo na harakati ya Muqawama ya Lebanon, Hizbullah.
Related Posts
Jaribio la kwanza la kurusha roketi anga za juu barani Ulaya lafeli
Roketi la anga ya juu ya Ulaya ilimepuka muda mfupi tu baada ya kuzinduliwa. Post Views: 22
Roketi la anga ya juu ya Ulaya ilimepuka muda mfupi tu baada ya kuzinduliwa. Post Views: 22
Kazem Gharib Abadi: Rafael Grossi kuwasili Tehran Jumatano
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Masuala ya Kisheria na Kimataifa ametangaza kuwa, Rafael Grossi Mkurugenzi…
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Masuala ya Kisheria na Kimataifa ametangaza kuwa, Rafael Grossi Mkurugenzi…
Waziri Mkuu wa Pakistan apongeza jitihada za Iran kupunguza mvutano na India
Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif, amesifu juhudi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kusaidia kupunguza mvutano kati ya…
Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif, amesifu juhudi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kusaidia kupunguza mvutano kati ya…