Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje amelaani vikali hujuma ya kijeshi ya anga na ardhini ya utawala wa wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria na uharibifu wa vituo vya utafiti vya kiraia na kisayansi, pamoja na mlolongo wa miundombinu ya ulinzi ya nchi hiyo katika majimbo ya Damascus, Hama, Homs na Daraa.
Related Posts
Sudan yaafiki kuanzishwa nchini humo kambi ya jeshi la wanamaji la Russia
Khartoum na Moscow zimekubaliana juu ya kuanzishwa kituo cha jeshi la wanamaji la Russia nchini Sudan. Post Views: 23
Khartoum na Moscow zimekubaliana juu ya kuanzishwa kituo cha jeshi la wanamaji la Russia nchini Sudan. Post Views: 23
Mahakama ya Kijeshi ya DRC yatoa hati ya kukamatwa Corneille Nangaa
Mahakama ya Kijeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imetoa hati ya kukamatwa kwa Corneille Nangaa, mkuu wa makundi…
Mahakama ya Kijeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imetoa hati ya kukamatwa kwa Corneille Nangaa, mkuu wa makundi…
Hatua ya Marekani ya kuishambulia kijeshi Yemen; kukariri mkakati ulioshindwa kufua dafu mbele ya Ansarullah
Donald Trump, ambaye aliingia madarakani kwa ahadi ya kuleta suluhu na amani na kuhitimisha vita kadhaa wa kadhaa vilivyoanzishwa na…
Donald Trump, ambaye aliingia madarakani kwa ahadi ya kuleta suluhu na amani na kuhitimisha vita kadhaa wa kadhaa vilivyoanzishwa na…