Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei amelaani vikali wimbi la mashambulizi ya jeshi la Marekani katika muda wa saa 24 zilizopita katika maeneo mbalimbali ya majimbo ya Sana’a, Saada, na Al-Jawf nchini Yemen, yakilenga miundombinu na maeneo ya makazi ya Yemen.
Related Posts
Marekani, Mshirika Asiyeaminika
Waziri Mkuu wa Canada, Mark Carney, ambaye amemrithi Justin Trudeau, amesisitiza kwamba atajibu hatua za Marekani dhidi ya nchi hiyo…
Waziri Mkuu wa Canada, Mark Carney, ambaye amemrithi Justin Trudeau, amesisitiza kwamba atajibu hatua za Marekani dhidi ya nchi hiyo…

Chifu wa Hamas aliuawa – nini kitatokea baadaye?
Chifu wa Hamas aliuawa – nini kitatokea baadaye?Kifo cha Ismail Haniyeh ni changamoto kwa Iran na wanachama wengine wa ‘Mhimili…
Chifu wa Hamas aliuawa – nini kitatokea baadaye?Kifo cha Ismail Haniyeh ni changamoto kwa Iran na wanachama wengine wa ‘Mhimili…
Basi lenye watu 70 lawaka moto Uganda, wengi wahofiwa kufa
Watu wengi wanahofiwa kufariki dunia baada ya basi la abiria kupinduka na kuwaka moto Jumatatu jioni katika wilaya ya Bukiwe…
Watu wengi wanahofiwa kufariki dunia baada ya basi la abiria kupinduka na kuwaka moto Jumatatu jioni katika wilaya ya Bukiwe…