Iran yakaribisha upatanishi wa Oman uliopelekea US kusitisha mashambulizi dhidi ya Yemen

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei amekaribisha taarifa ya Oman kuhusu kusitishwa kwa mashambulizi ya Marekani dhidi ya Yemen, akisema kuwa nchi za eneo hili hazitasahau Muqawama wa watu wa Yemen dhidi ya uvamizi wa kigeni.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *