Iran yaitaka ICJ kukomesha mauaji ya kimbari ya Gaza, kuruhusiwa misaada ya kibinadamu

Tehran imelaani mashambulizi ya Israel kwenye Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan ikiyataja kuwa ni mfano wa wazi wa mauaji ya kimbari na kutoa wito kwa Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) na jamii ya kimataifa kuchukua hatua ya kuwajibika kukomesha ukatili huo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *