Iran yailaani Israel kwa kupiga mabomu kambi za wakimbizi Palestina

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mashambulizi ya hivi karibuni ya anga dhidi ya kambi za wakimbizi wa Kipalestina yaliyofanywa na utawala ghasibu wa Israel na kusababisha kuuawa shahidi na kujeruhiwa makumi ya Wapalestina wasio na hatia wakiwemo watoto wadogo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *