Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema kuwa Marekani imeshindwa kuzuia ujenzi wa mtambo wa nyuklia wa Karun katika jiji la Darkhovein, kusini magharibi mwa Iran, akisisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu inaendelea kufuatilia shughuli zake za nyuklia kwa amani licha ya njama za maadui.
Related Posts
Zainab Nasrullah: Kuwauwa viongozi wa Muqawama hakutadhoofisha mapambano
Binti wa Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah, aliyekuwa Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa kuwauwa viongozi wa…
Binti wa Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah, aliyekuwa Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa kuwauwa viongozi wa…
HAMAS: Tumewalazimisha wavamizi kusimamisha uvamizi na uchokozi wao
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa: Adui Mzayuni ameshindwa kufikia malengo yake na kulazimika kusimamisha uchokozi…
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa: Adui Mzayuni ameshindwa kufikia malengo yake na kulazimika kusimamisha uchokozi…
Interpol yawakamata magaidi 37 Afrika Mashariki
Polisi ya Kimataifa (Interpol) imesema washukiwa 37 wa ugaidi, wakiwemo kadhaa wanaoaminika kuwa wanachama wa ISIS, wamekamatwa katika kanda ya…
Polisi ya Kimataifa (Interpol) imesema washukiwa 37 wa ugaidi, wakiwemo kadhaa wanaoaminika kuwa wanachama wa ISIS, wamekamatwa katika kanda ya…