Iran: Wakimbizi wa Afghanistan watarejeshwa kwao kwa heshima

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, viongozi wa Iran na Afghanistan wameandaa utaratibu mzuri wa pamoja wa kuwawezesha wakimbizi wa Afghanistan waliopo nchini Iran warejee nchini kwao kwa heshima.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *