Iran imelaani vikali vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu, Mohsen Paknejad na baadhi ya taasisi na meli zinazohusika na mauzo ya nje ya mafuta ya nchi hii na kusisitiza kuwa, vikwazo hivyo ni ithibati ya “ukiukaji wa sheria na unafiki” wa Washington.
Related Posts
Al Houthi: Marekani imeshindwa katika malengo yake dhidi ya Yemen/ Al Bukhaiti: Hakuna haja ya kuzungumza na Marekani
Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameashiria jinai za utawala wa Kizayuni kwa kushirikiana na Marekani katika eneo…
Trump atishia kuzikatia misaada Misri na Jordan na kutaka makubaliano ya kusitisha vita Ghaza yafutwe
Rais wa Marekani Donald Trump amesema anaweza akafikiria kusitisha msaada kwa Jordan na Misri ikiwa zitakataa kuwapokea Wapalestina, baada ya…
F-16 mpya za Kiev hazitadumu kwa muda mrefu baada ya kuingia vitani – mwanadiplomasia wa Kirusi
F-16 mpya za Kiev hazitadumu kwa muda mrefu baada ya kuingia vitani – mwanadiplomasia wa KirusiRodion Miroshnik anatazamia kuwa wanajeshi…