Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Abbas Araghchi amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndio kizuizi pekee kwa Asia Magharibi kuwa eneo lisilo na silaha za nyuklia, akionya kwamba utawala huo unaoikalia ardhi kwa mabavu unachochea chuki dhidi ya Iran huku wenyewe ukiendelea mauaji ya kimbari katika eneo hili.
Related Posts
Hizbullah yapinga madai ya kuhusika na shambulio la maroketi
Baada ya utawala wa Israel kudai kwamba maroketi 5 yalirushwa kuelekea katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu jana Jumamosi, Harakati ya…
Baada ya utawala wa Israel kudai kwamba maroketi 5 yalirushwa kuelekea katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu jana Jumamosi, Harakati ya…
Makazi kumi yamekombolewa: maendeleo katika Mkoa wa Kursk
Makazi kumi yamekombolewa: maendeleo katika Mkoa wa KurskWanajeshi wa Urusi pia walizuia majaribio manne ya Kiukreni ya kuvunja mpaka kuelekea…
Makazi kumi yamekombolewa: maendeleo katika Mkoa wa KurskWanajeshi wa Urusi pia walizuia majaribio manne ya Kiukreni ya kuvunja mpaka kuelekea…
Tajiri maarufu wa US ashangaa mataifa ya Kiarabu kushindwa kuzuia mauaji ya kimbari Ghaza
Mohamed Hadid, mfanyabiashara tajiri, ambaye ni Mmarekani mwenye asili ya Palestina amehoji na kushangaa kwa nini mataifa ya Kiarabu na…
Mohamed Hadid, mfanyabiashara tajiri, ambaye ni Mmarekani mwenye asili ya Palestina amehoji na kushangaa kwa nini mataifa ya Kiarabu na…