Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema urutubishaji wa madini ya urani ukiwa ni sehemu ya mpango wa amani wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu “haujadiliki” na kwamba mazungumzo ya Tehran na Washington hayatazaa matunda ikiwa yatafanyika kwa mashinikizo na bila ya pande mbil kuheshimiana.
Related Posts
Mchambuzi: Kurukia vita baada ya vita ni ‘muhimu’ kwa Netanyahu kubaki madarakani
Elijah Magnier, mchambuzi mashuhuri wa masuala ya kijeshi amesema, waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu anafanya…
Elijah Magnier, mchambuzi mashuhuri wa masuala ya kijeshi amesema, waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu anafanya…
Makombora ya Salvos ya Hezbollah yalirushwa katika maeneo ya Israel baada ya mashambulizi ya ‘katili’
Makombora ya Salvos ya Hezbollah yalirushwa katika maeneo ya Israel baada ya mashambulizi ya ‘katili’ Vikosi vya Hizbullah vimerusha makombora…
Makombora ya Salvos ya Hezbollah yalirushwa katika maeneo ya Israel baada ya mashambulizi ya ‘katili’ Vikosi vya Hizbullah vimerusha makombora…
Jumatano, tarehe Pili Aprili, 2025
Leo ni Jumatano tarehe 3 Shawwal 1446 Hijria sawa na Aprili Pili mwaka 2025. Post Views: 12
Leo ni Jumatano tarehe 3 Shawwal 1446 Hijria sawa na Aprili Pili mwaka 2025. Post Views: 12