Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa kwa mnasaba wa kumbukumbu ya jinai iliyofanywa na utawala wa Kizayuni ya kuushambulia ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu mjini Damascus na kutangaza kuwa: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeazimia kutumia fursa na njia zote kutekeleza uadilifu na kuuwajibisha utawala wa kigaidi wa Israel.
Related Posts
Ripoti: Matajiri dunia wamesababisha theluthi mbili ya mabadiliko ya hali ya hewa
Utafiti mpya uliochapishwa katika jarida la Nature Climate Change umegundua kuwa asilimia 10 ya watu matajiri zaidi duniani wanahusika na…
Utafiti mpya uliochapishwa katika jarida la Nature Climate Change umegundua kuwa asilimia 10 ya watu matajiri zaidi duniani wanahusika na…
Mark Carney: Canada haitasahau usaliti wa Marekani/ Mahusiano ya zamani yamekwisha
Waziri Mkuu mteule wa Canada, Mark Carney ametoa ujumbe mzito kwa Marekani, akisema kwamba Ottawa haipaswi “kusahau usaliti wa Washington…
Waziri Mkuu mteule wa Canada, Mark Carney ametoa ujumbe mzito kwa Marekani, akisema kwamba Ottawa haipaswi “kusahau usaliti wa Washington…

Marekani lazima itoke Ukraine – Trump
Marekani lazima itoke Ukraine – TrumpWashington ina hatari ya kukwama katika vita vingine vya milele, rais huyo wa zamani amesema…
Marekani lazima itoke Ukraine – TrumpWashington ina hatari ya kukwama katika vita vingine vya milele, rais huyo wa zamani amesema…