Iran: Tutajibu chokochoko yoyote ya kijeshi ya Marekanii au Israel

Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, hatua zozote za kijeshi za Marekani au utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya mamlaka ya kujitawala na maslahi ya taifa ya Iran zitapatiwa jibu la haraka na mwafaka.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *