Iran: Tunafanya mazungumzo na Marekani kuhusu kadhia ya nyuklia tu

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, tunapoangalia mawasiliano ya maandishi yaliyofanyika tangu mwanzo wa mchakato uliopelekea kufanyika mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati yetu na Marekani tutaona kuwa, msingi wa mawasiliano hayo haukuwa na chochote kingine ghairi ya suala la nyuklia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *