Iran: Nyuklia na kuondolewa vikwazo ndizo maudhui pekee za mazungumzo

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa: Suala la nyuklia kwa maana ya kuhakikisha mradi wa nyuklia wa Iran ni wa amani kikamilifu na kuondolewa vikwazo, ndiyo masuala pekee yanyojadiliwa kwenye mazungumzo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *