Iran; mshirika wa Sudan katika kujenga upya miundombinu ya viwanda

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza udharura wa kustawisha na kuimarisha uhusiano na Sudan na kusema: Iran iko tayari kushiriki katika kujenga upya viwanda vya nchi rafiki na ndugu ya Sudan.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *