Iran: Marekani inapotosha ukweli kuhusu urutubishaji wa urani

Behrouz Kamalvandi, msemaji na naibu mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI), amepinga kauli za hivi karibuni zilizotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio kwamba ni nchi zenye silaha za nyuklia pekee zinazorutubisha madini ya urani yanayotumika kuzalisha umeme wa nyuklia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *