Iran kwa mara nyingine yatilia mkazo wajibu wa kukomeshwa mara moja jinai Ghaza

Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema kuwa, kuna wajibu wa kuongezwa juhudi za kidiplomasia za kuhakikisha utawala wa Kizayuni unakomesha jinai zake kwenye Ukanda wa Ghaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *