Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) Mohammad Baqer Qalibaf na Waziri wa Mambo ya Nje Abbas Araghchi leo wanaelekea Beirut kushiriki katika hafla ya mazishi ya kiongozi wa Hizbullah aliyeuawa shahidi, Sayyed Hassan Nasrallah, pamoja na mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah, Shahidi Sayyid Hashim Safieddine.
Related Posts
Katibu Mkuu wa UN atoa wito wa kufanyika upatanishi ili kumaliza mzozo wa Kongo DR
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema, sasa ni wakati wa kumaliza mzozo mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia…
HAMAS yalaani mashambulio ya kinyama ya utawala wa Kizayuni Jenin, Ukingo wa Magharibi
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani mashambulizi ya kinyama yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika…
Mapatano mapya ya nchi za Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia
Kwa kutilia maanani jaribio la utawala wa Trump la kuanzisha usitishaji vita nchini Ukraine kwa kuilazimisha ikubali masharti yaliyowekwa na…