Iran: Hakuna mazungumzo na Marekani wakati kuna vitisho na vikwazo

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema Tehran haitashiriki katika mazungumzo ya moja kwa moja kuhusu nyuklia na Marekani maadamu Washington inaendelea na vikwazo vya upande mmoja na vitisho.