Iran imesema mwenendo wa kudhalilisha wa Rais wa Marekani, Donald Trump dhidi ya mwenzake wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, katika Ikulu ya White House unapaswa kuwa “kengele ya hatari” ya kurejea kwenye zama za karne ya 19 za uonevu na utumiaji mabavu katika uhusiano wa kimataifa.
Related Posts

Korea Kaskazini inawakaribisha wajumbe wa jeshi la Urusi
Korea Kaskazini inawakaribisha wajumbe wa jeshi la UrusiKiongozi Kim Jong-un amesisitiza mshikamano wa nchi hiyo na Moscow katika mzozo na…
Korea Kaskazini inawakaribisha wajumbe wa jeshi la UrusiKiongozi Kim Jong-un amesisitiza mshikamano wa nchi hiyo na Moscow katika mzozo na…
Abutorabi-Fard: Sayyid Hassan Nasrallah aliuletea Umma wa Kiislamu heshima
Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amezungumzia mazishi yajayo ya shahidi Sayyid Hassan Nasrallah na kusema: “Alikuwa mtu mwenye…
Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amezungumzia mazishi yajayo ya shahidi Sayyid Hassan Nasrallah na kusema: “Alikuwa mtu mwenye…
Hata kiongozi wa upinzani Israel amshutumu Netanyahu kwa kukiuka makubaliano ya kusitisha vita Ghaza
Kiongozi wa upinzani katika utawala wa Kizayuni wa Israel amemshutumu waziri mkuu wa utawala huo Benjamin Netanyahu kwa kukiuka makubaliano…
Kiongozi wa upinzani katika utawala wa Kizayuni wa Israel amemshutumu waziri mkuu wa utawala huo Benjamin Netanyahu kwa kukiuka makubaliano…