IDF ilisema vyumba walivyovishambulia vilikuwa ngome ya Hezbollah, lakini wengi waliokufa walikuwa raia

Julia Ramadan alikuwa na hofu kubwa, vita kati ya Israel na Hezbollah vilikuwa vikiongezeka na aliota ndoto mbaya kwamba nyumba ya familia yake ilikuwa ikilipuliwa.