ICC yaifungulia mashtaka Hungary kwa kutomkamata Netanyahu

Mahakama ya Kimataifa ya Jinai imefungua rasmi kesi dhidi ya Hungary baada ya serikali ya Budapest kukataa kutekeleza waranti wa ICC wa kumkamata waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu wakati wa ziara yake rasmi nchini humo mapema mwezi huu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *