Human Rights Watch yatoa wito wa kushughulikiwa hatari za roboti wauaji

Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetahadharisha kuhusu hatari kubwa ya silaha zinazojiendesha zenyewe kwa haki za binadamu wakati wa vita na amani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *