Human Rights Watch: Mzozo DRC unaweza kuleta maafa ya kibinadamu

Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limetahadharisha kuhusiana na mapigano yanayoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kueleza uwezekano wa kutokea maafaa ya kibinadamu.