Katika siku za mwanzo za muhula wake wa pili wa uongozi, Donald Trump, rais mpya wa Marekani, kwa mara nyingine tena amefuata njia ile ile aliyopitia katika muhula wa kwanza wa uongozi wake. Katika muhula wa kwanza, Trump alitoa uungaji mkono mkubwa na ambao haujashuhudiwa kwa utawala wa Kizayuni na kuchukua hatua mpya sambamba na kuiunga mkono Israel na kuwapinga Wapalestina. Vitendo na misimamo hii imekutana na majibu chanya kutoka Tel Aviv.
Related Posts

Mshambuliaji wa Urusi aina ya Su-34 aharibu silaha za Ukraine kwa mabomu ya kuteleza katika Mkoa wa Kursk
Mshambuliaji wa Urusi aina ya Su-34 aharibu silaha za Ukraine kwa mabomu ya kuteleza katika Mkoa wa Kursk Mgomo dhidi…
Mshambuliaji wa Urusi aina ya Su-34 aharibu silaha za Ukraine kwa mabomu ya kuteleza katika Mkoa wa Kursk Mgomo dhidi…
Iran yazindua Jukwaa la Kitaifa la AI: Hatua kubwa kuelekea kwenye kilele cha teknolojia
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezindua Jukwaa lake la Kitaifa la Akili Mnemba (AI), lililoundwa na watafiti 100 wa Iran,…
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezindua Jukwaa lake la Kitaifa la Akili Mnemba (AI), lililoundwa na watafiti 100 wa Iran,…
Warusi wakimbia eneo la mpakani kufuatia madai ya uvamizi wa Ukraine
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…