Hofu ya kukamatwa yamfanya Netanyahu afute safari yake ya Vatican

Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel amefuta safari yake ya Vatican akihofia kutekelezwa waranti wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC unaotaka atiwe mbaroni kwa kutenda jinai za kivita Palestina.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *