Hatimaye Marekani na China zazungumza, Kwa nini sasa?

Maafisa wakuu wa biashara kutoka pande zote mbili walikutana siku ya Jumamosi katika mkutano wa kwanza wa ngazi ya juu tangu Rais wa Marekani Donald Trump aiwekee China ushuru mwezi Januari.

​  BBC News Swahili

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *