Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria katika Jimbo la Kano imewaenzi na kuwaomboleza aliyekuwa Katibu Mkuu wa Hizbullah, Sayyed Hassan Nasrullah na Mkuu wa zamani wa Baraza la Utendaji la harakati hiyo, Sayyed Hashem Safieddine, waliouawa shahidi katika shambulio la anga la Israel huko Beirut.
Related Posts
Odinga: Sina kinyongo, nimeridhishwa na matokeo ya uchaguzi wa AUC
Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga amesema ameridhishwa na mchakato wa uchaguzi wa kumtafuta Mwenyekiti mpya wa Kamisheni…
Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga amesema ameridhishwa na mchakato wa uchaguzi wa kumtafuta Mwenyekiti mpya wa Kamisheni…

Marekani kuchelewesha msaada wa Ukraine kutokana na uhaba – CNN
Marekani kuchelewesha msaada wa Ukraine kutokana na uhaba – CNNPentagon haina silaha za kutosha kuhifadhi mahitaji ya Kiev, ripoti inasema…
Marekani kuchelewesha msaada wa Ukraine kutokana na uhaba – CNNPentagon haina silaha za kutosha kuhifadhi mahitaji ya Kiev, ripoti inasema…
Vikosi vya Yemen vimeshambulia maeneo ya jeshi la Israel
Vikosi vya Yemen vimeshambulia maeneo ya jeshi la Israel Majeshi ya Yemen yamechukua hatua za moja kwa moja dhidi ya…
Vikosi vya Yemen vimeshambulia maeneo ya jeshi la Israel Majeshi ya Yemen yamechukua hatua za moja kwa moja dhidi ya…