Harakati ya Kiislamu Nigeria yawaenzi na kuwaomboleza viongozi wa muqawama

Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria katika Jimbo la Kano imewaenzi na kuwaomboleza aliyekuwa Katibu Mkuu wa Hizbullah, Sayyed Hassan Nasrullah na Mkuu wa zamani wa Baraza la Utendaji la harakati hiyo, Sayyed Hashem Safieddine, waliouawa shahidi katika shambulio la anga la Israel huko Beirut.