Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa wito kwa Wapalestina, Waarabu, Waislamu na watu huru kote duniani kushiriki katika harakati ya kimataifa siku za Ijumaa, Jumamosi na Jumapili, ili kupinga mipango ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuwaondoa Wapalestina katika Ukanda wa Gaza na kulikalia kwa mabavu eneo hilo.
Related Posts
Wahamiaji 194 wa Kiafrika wakamatwa nchini Yemen
Vikosi vya usalama vya Yemen jana viliwatia mbaroni wahamiaji 194 kutoka eneo la Pembe ya Afrika waliokuwa wakijaribu kuingia nchini…
Vikosi vya usalama vya Yemen jana viliwatia mbaroni wahamiaji 194 kutoka eneo la Pembe ya Afrika waliokuwa wakijaribu kuingia nchini…
Reuters: RSF imetia saini hati ya kuunda serikali nyingine nchini Sudan
Wanasiasa wa Sudan, Al-Hadi Idris na Ibrahim Al-Mirghani, wameliambia shirika la habari la Reuters kwamba kundi la waasi la Rapid…
Wanasiasa wa Sudan, Al-Hadi Idris na Ibrahim Al-Mirghani, wameliambia shirika la habari la Reuters kwamba kundi la waasi la Rapid…

Nasrallah: Mapigano yameingia ‘awamu mpya’ baada ya mauaji ya Israel
Nasrallah: Mapigano yameingia ‘awamu mpya’ baada ya mauaji ya Israel Katibu Mkuu wa vuguvugu la upinzani la Lebanon Hezbollah, Sayyed…
Nasrallah: Mapigano yameingia ‘awamu mpya’ baada ya mauaji ya Israel Katibu Mkuu wa vuguvugu la upinzani la Lebanon Hezbollah, Sayyed…