Hamas yatoa wito kwa vyombo vya habari kupinga propaganda chafu za Israel

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa wito kwa Waarabu na Wapalestina kushiriki katika mapambano ya vyombo vya habari ili kukabiliana na propaganda na vita vya kisaikolojia vya Israel vyenye lengo la kuvunja irada na azma ya watu wa Palestina.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *