Brigedi za Izzuddinul-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS zimetangaza kwamba, zimejiandaa kwa “chochote kitachotokea” na zingali ziko kwenye hali ya “tahadhari kamili”, zikisisitiza kuwa, vitisho vya utawala wa Kizayuni wa Israel vya kuanzisha tena vita dhidi ya Ukanda wa Ghaza havitatoa hakikisho kwa utawala huo dhalimu la kuweza kuwakomboa mateka wake.
Related Posts
Iran yataka OIC iitishe mkutano wa dharura kuijadili Gaza
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amekosoa vikali mpango wa pamoja wa Marekani na Israel wa kuwahamisha…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amekosoa vikali mpango wa pamoja wa Marekani na Israel wa kuwahamisha…
Rais wa Iraq: Al-Hashd al-Shaabi ni sehemu ya vikosi vya usalama nchini
Rais wa Iraq amesema kuwa makundi yenye silaha yenye mfungamano na kundi la Hash al Shaabi yanasimamiwa na serikali kuu…
Rais wa Iraq amesema kuwa makundi yenye silaha yenye mfungamano na kundi la Hash al Shaabi yanasimamiwa na serikali kuu…
Kadi nyingine nyekundu yatolewa kwa Israel; mara hii ni nchini Malaysia
Mashabiki wa soka wa Malaysia wamejiunga na kampeni ya ‘Show Israel Red Card’ yaani “Ionyeshe Israel Kadi Nyekundu” katika uuwanja…
Mashabiki wa soka wa Malaysia wamejiunga na kampeni ya ‘Show Israel Red Card’ yaani “Ionyeshe Israel Kadi Nyekundu” katika uuwanja…