Msemaji wa Brigedi za Izzuddin al Qassam, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiisamu ya Palestina HAMAS ametahadharisha kuhusu uwezekano wa kuvunjika makubaliano ya kusitisha vita kama utawala wa Kizayuni wa Israel utaendelea kufanya vitendo vinavyovunja vipengee vya makubaliano hayo.
Related Posts
Makumi ya mateka wa Kipalestina waachiliwa huru, Hamas yakabidhi maiti
Makumi ya mateka wa Kipalestina wanaoishi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na mji wa Quds wameachiliwa huru mapema…
Makumi ya mateka wa Kipalestina wanaoishi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na mji wa Quds wameachiliwa huru mapema…
Vikosi vya nchi kavu vya IRGC vyafanya maneva makubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa ya kujiandaa na vita
Vikosi vya Nchi Kavu vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) vimeanza mazoezi makubwa zaidi ya…
Vikosi vya Nchi Kavu vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) vimeanza mazoezi makubwa zaidi ya…
Watu wanne waliuawa katika mashambulizi ya Ukraine katika eneo la Urusi – gavana
Raia wengine 24 wamejeruhiwa katika Mkoa wa Belgorod, Vyacheslav Gladkov amesema Watu wanne waliuawa na wengine 24 kujeruhiwa katika mashambulizi…
Raia wengine 24 wamejeruhiwa katika Mkoa wa Belgorod, Vyacheslav Gladkov amesema Watu wanne waliuawa na wengine 24 kujeruhiwa katika mashambulizi…