Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa ombi la kuchukuliwa hatua za haraka kukomesha “uangamizaji kizazi wa kimpangilio unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel na kuwatesa kwa njaa makusudi Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza”, jinai ambazo imesema, “zinafanywa kwa usaidizi wa kuaibisha wa kimaitaifa usioweza kuhalalishwa”.
Related Posts
Jeshi la Urusi laharibu magari ya kivita ya Kiukreni katika Mkoa wa Kursk kwa kutumia risasi za kivita
Jeshi la Urusi laharibu magari ya kivita ya Kiukreni katika Mkoa wa Kursk kwa kutumia risasi za kivitaWizara ya Ulinzi…

Waukraine lazima kujiandaa kwa ajili ya ‘majira ya baridi ngumu’ – waziri
Ukrainians lazima kujiandaa kwa ajili ya ‘majira ya baridi ngumu’ – waziri Miezi ijayo ya baridi itakuwa na changamoto zaidi…
Waislamu wa Ghana wamuenzi na kumuomboleza Sayyid Hassan Nasrullah
Jumuiya ya Waislamu wa Ghana mjini Accra imefanya hafla ya kumbukumbu ya Sayyed Hassan Nasrallah, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Harakati…