Hamas yailaani Israel kwa kumuua mwandishi mashuhuri wa habari Gaza

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imelaani vikali kitendo cha utawala haramu wa Israel cha kumuua mwandishi habari maarufu na mwenye ushawishi mkubwa wa Kipalestina na kuyataka mauaji hayo kuwa ya kinyama. Hamas imesema mauaji hayo ni sehemu ya kampeni ya Israel kunyamazisha vyanzo vya ukweli.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *