Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imefananisha vitendo vya utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza na mauaji ya kimbari ya Rwanda, huku ikisifu hatua ya Umoja wa Afrika ya kumfukuza balozi wa utawala wa Israel kutoka mkutano maalumu wa kumbukumbu ya mauaji ya kimbari ya Rwanda uliofanyika Addis Ababa, Ethiopia.
Related Posts
Mlipuko wa ugonjwa wa Mpox waukumba mji wa Kabare huku mzozo ukiendelea DRC
Mji wa Kabare, unaopatikana katika jimbo la Kivu Kusini umeathiriwa na mlipuko mkali wa ugonjwa wa Mpox, ugonjwa ambao kimsingi…
Mji wa Kabare, unaopatikana katika jimbo la Kivu Kusini umeathiriwa na mlipuko mkali wa ugonjwa wa Mpox, ugonjwa ambao kimsingi…
UN: Mauaji ya mamia ya watu El-Fasher, Sudan yanatisha
Kamishn Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali mashambulizi mabaya ya hivi karibuni ya Vikosi vya…
Kamishn Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali mashambulizi mabaya ya hivi karibuni ya Vikosi vya…

Korea Kaskazini inawakaribisha wajumbe wa jeshi la Urusi
Korea Kaskazini inawakaribisha wajumbe wa jeshi la UrusiKiongozi Kim Jong-un amesisitiza mshikamano wa nchi hiyo na Moscow katika mzozo na…
Korea Kaskazini inawakaribisha wajumbe wa jeshi la UrusiKiongozi Kim Jong-un amesisitiza mshikamano wa nchi hiyo na Moscow katika mzozo na…