Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amesema kuwa, mjumbe maalumu wa Marekani Steve Witkoff alilihakikishia kundi hilo la Muqawama la Palestina kwamba, Washington itaishinikiza Israel kukomesha mzingiro wa Gaza na kuruhusu ufikishaji wa misaada ya kibinadamu ndani ya siku mbili baada ya kumwachilia huru mwanajeshi wa Israel, Edan Alexander, raia wa Marekani.
Related Posts

Shambulizi la Israel laua zaidi ya watu 70 Gaza – mkuu wa hospitali
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…
Rostec ya Urusi imesema F-16 za Ukraine hatimaye zitaharibiwa
Rostec ya Urusi imesema F-16 za Ukraine hatimaye zitaharibiwaMnamo Agosti 4, Rais wa Ukraine Vladimir Zelensky alithibitisha kwamba Ukraine ilikuwa…
Rostec ya Urusi imesema F-16 za Ukraine hatimaye zitaharibiwaMnamo Agosti 4, Rais wa Ukraine Vladimir Zelensky alithibitisha kwamba Ukraine ilikuwa…

Kuimarisha uhusiano na Urusi ‘kipaumbele cha sera ya kigeni’ kwa Iran: Pezeshkian
Kuimarisha uhusiano na Urusi ‘kipaumbele cha sera ya kigeni’ kwa Iran: Pezeshkian Rais wa Iran Masoud Pezeshkian (Kulia) na Katibu…
Kuimarisha uhusiano na Urusi ‘kipaumbele cha sera ya kigeni’ kwa Iran: Pezeshkian Rais wa Iran Masoud Pezeshkian (Kulia) na Katibu…