Katika hatua inayoonekana kuwa ya kuonyesha uwezo wao wa kijeshi na kuutunishia misuli utawala wa Kizayuni wa Israel, wanamapambano wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS, jana walijitokeza na bunduki za Israel aina ya Tavor wakati wa makabidhiano ya wanajeshi wanne wa kike wa utawala huo wa Kizayuni katika mji wa Ghaza.
Related Posts
Waislamu wanasherekea siku ya kupewa Utume Nabii Muhammad (saw)
Waislamu katika pembe mbalimbali za dunia leo wanaadhimisha kumbukumbu ya kubaathiwa na kupewa Utume, Nabii Muhammad (saw). Post Views: 26
Jibu la HAMAS kwa Trump: Quds na Msikiti wa al-Aqswa ni mstari wetuu mwekundu
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa, hakuna mpango wowote wa kuwaondoa kwa lazima wananchi wa Palestina…
Siku ya Wanawake; Iran yataka Israel itimuliwe UN + Picha
Ofisi ya Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa imetaka utawala wa Kizayuni utimuliwe kutoka kwenye umoja huo…