Hamas: Takriban watoto 19,000 wameuawa shahidi huko Ghaza

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imetangaza kuwa, takriban watoto 19,000 wameshauawa shahidi huko Ghaza na takriban watoto 39,000 wamepoteza kwa uchache mzazi mmoja au wote wawili.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *