Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa, kulipuliwa kwa Hospitali ya Kibaptisti katika mji wa Gaza, kuharibiwa jengo la mapokezi na huduma za dharura na kutimuliwa wagonjwa na majeruhi ni uhalifu mpya wa kivita uliofanywa na jeshi la Israel kwa baraka za Marekani ikiwa ni sehemu ya uhalifu wa kikatili unaoendelea kufanywa katika Ukanda wa Gaza.
Related Posts
China yapuuza vikwazo vya Marekani, yanunua mafuta ya Iran kwa wingi
Licha ya vitisho vya vikwazo kutoka kwa Marekani, uagizaji wa mafuta ya Iran na China umeongezeka kwa kasi kubwa mwezi…
Licha ya vitisho vya vikwazo kutoka kwa Marekani, uagizaji wa mafuta ya Iran na China umeongezeka kwa kasi kubwa mwezi…
Joseph Kabila: Uongozi mbaya wa Rais Tshisekedi umezidisha mzozo mashariki mwa DRC
Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Joseph Kabila amesema kuuwa, uongozi mbaya wa mrithi wake, Rais Felix…
Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Joseph Kabila amesema kuuwa, uongozi mbaya wa mrithi wake, Rais Felix…
Balozi wa UN aionya US kuiweka Ansarullah kwenye orodha ya magaidi
Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen, Hans Grundberg ameonya kuhusu athari mbaya za Marekani kuitambua Harakati…
Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen, Hans Grundberg ameonya kuhusu athari mbaya za Marekani kuitambua Harakati…