Hamas: Shambulio la Israel katika Hospitali ya Kibaptisti ni uhalifu wa kivita kwa msaada wa Marekani

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa, kulipuliwa kwa Hospitali ya Kibaptisti katika mji wa Gaza, kuharibiwa jengo la mapokezi na huduma za dharura na kutimuliwa wagonjwa na majeruhi ni uhalifu mpya wa kivita uliofanywa na jeshi la Israel kwa baraka za Marekani ikiwa ni sehemu ya uhalifu wa kikatili unaoendelea kufanywa katika Ukanda wa Gaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *