Hamas: Nchi za Kiarabu zichukue hatua kumaliza mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imewataka viongozi wa nchi Kiarabu kuchukua hatua za haraka na za kiutendaji ili kumaliza mashambulizi yanayoendelea ya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza na kuondoa vizuizi vya kibinadamu vinavyosababisha maafa katika eneo hilo lililozingirwa. 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *