Hamas: Mauaji ya Wapalestina akiwemo Mbunge yataimarisha Muqawama

Jeshi la Israel limefanya mashambulizi mapya ya kutisha ya anga katika Ukanda wa Gaza na kuua shahidi watu wasiopungua 40, akiwemo Salah al-Bardawil, Mbunge wa Palestina na Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *