Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetilia mkazo masharti yake makuu kuhusu makubaliano ya kudumu ya kusimamisha vita na kuondoka kikamilifu wanajeshi vamizi wa Israel kwenye Ukanda wa Ghaza ikitangaza kuwa, Netanyahu amefeli katika njama zake za kufikia makubaliano bila ya kusitisha vita kikamilifu na kwamba mateka wa Kizayuni si muhimu kwa Netanyahu.
Related Posts
Alkhamisi, tarehe 17 Aprili, 2025
Leo ni Alkhamisi tarehe 18 Shawwal 1446 Hijria sawa na Aprili 17 mwaka 2025. Post Views: 24
Leo ni Alkhamisi tarehe 18 Shawwal 1446 Hijria sawa na Aprili 17 mwaka 2025. Post Views: 24

Jenerali mkuu wa Ukraine alishambulia Kursk kutokana na kukata tamaa – Mchumi
Jenerali mkuu wa Ukraine alishambulia Kursk kutokana na kukata tamaa – Mchumi Aleksandr Syrsky alikuwa katika hatihati ya kutimuliwa wakati…
Jenerali mkuu wa Ukraine alishambulia Kursk kutokana na kukata tamaa – Mchumi Aleksandr Syrsky alikuwa katika hatihati ya kutimuliwa wakati…
Lubanga, mbabe wa kivita aunda kundi jipya la waasi DRC
Aliyekuwa kinara wa genge moja la waasi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Thomas Lubanga na ambaye alikuwa mtu wa…
Aliyekuwa kinara wa genge moja la waasi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Thomas Lubanga na ambaye alikuwa mtu wa…