Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imetoa tamko kujibu madai ya uongo ya jeshi katili la adui Israel kuhusu kuripuliwa hospitali ya Baptist huko Gaza, na kuyataja madai hayo kuwa ni “uongo unaorudiwa” wa kujaribu kuhalalisha jinai za kivita za utawala ghasibu wa Kizayuni.
Related Posts
Mkutano wa London, maonyesho ya nguvu na uungaji mkono kwa Ukraine bila dhamana ya utekelezaji
Siku mbili baada ya kufedheheshwa Rais Zelensky wa Ukraine katika Ikulu ya White House na suala hilo kuakisiwa pakubwa kimataifa,…
Siku mbili baada ya kufedheheshwa Rais Zelensky wa Ukraine katika Ikulu ya White House na suala hilo kuakisiwa pakubwa kimataifa,…
Wanawake wa Iran wanastawi kwa kasi licha ya vikwazo
Licha ya vikwazo, wanawake wa Iran wanaendelea kuwa na azma thabiti ya kujenga mustakabali wa haki zaidi. Post Views: 15
Licha ya vikwazo, wanawake wa Iran wanaendelea kuwa na azma thabiti ya kujenga mustakabali wa haki zaidi. Post Views: 15
IRGC ya Iran yavunja mitandao ya ujasusi ya Israel na Marekani
Vikosi vya kiintelijensia vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) vimesambaratisha mitandao kadhaa ya kijasusi yenye…
Vikosi vya kiintelijensia vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) vimesambaratisha mitandao kadhaa ya kijasusi yenye…