HAMAS: Jinai za Netanyahu dhidi ya Wapalestina hazitamletea ushindi

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kuwa, mashambulizi dhidi ya nyumba za makazi ya watu katika eneo la kaskazini mwa Ukanda wa Gaza yanadhihirisha sisitizo la utawala ghasibu wa Israel kuhusu mauaji ya kimbari ya watu wasio na ulinzi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *