Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS Hamas imependekeza kubadilishana mateka wote wa Israel kwa mateka Wapalestina “kwa mpigo” wakati wa awamu ya pili ya makubaliano ya kusitisha mapigano Ghaza, kwa lengo la kufikia mapatano ya kudumu na jeshi la utawala wa Kizayuni kuondoka kikamilifu katika eneo hilo.
Related Posts

Vikosi vya Urusi vyaharibu silaha za Kiukreni katika Mkoa wa Kursk
Vikosi vya Urusi vinaharibu silaha za Kiukreni katika Mkoa wa Kursk – MOD (VIDEO)Jeshi la Urusi limetoa picha za video…
Vikosi vya Urusi vinaharibu silaha za Kiukreni katika Mkoa wa Kursk – MOD (VIDEO)Jeshi la Urusi limetoa picha za video…
Iran: Kuruka ndege za Israel jijini Beirut wakati wa mazishi ya Shahidi Nasrallah ni “kitendo cha ugaidi”
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amelaani hatua ya ndege za kivita za utawala haramu wa Israel…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amelaani hatua ya ndege za kivita za utawala haramu wa Israel…
Afrika Kusini, Malaysia na Colombia zapinga meli zenye silaha katika bandari zao kwa ajili ya Israel
Viongozi wa Afrika Kusini, Malaysia na Colombia zimetangaza katika jarida moja katika makala yao ya pamoja kwamba watazizuia meli zilizobeba…
Viongozi wa Afrika Kusini, Malaysia na Colombia zimetangaza katika jarida moja katika makala yao ya pamoja kwamba watazizuia meli zilizobeba…