Hali si hali, mamia ya wanajeshi wa Israel wakamatwa wakitoroka jeshini

Wakati jeshi la utawala wa Kizayuni likikaribia kusambaratika kutokaana na uhaba wa wafanyakazi, wimbi la wanajeshi wa Israel wanaokwepa kuhudumu jeshini nalo linazidi kuongezeka hususan kutokana na hofu ya kutumwa kwenye kinamasi cha Ghaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *