Hakim: Vikosi vya Hashdu Shaabi ni nguzo ya usalama wa Iraq

Kiongozi wa Harakati ya Hikma ya Kitaifa ya Iraq, Ammar al-Hakim amevipongeza vikosi vya Hashdu Shaabi na kusisitiza kuwa vimekuwa na mchango mkubwa kwa usalama wa Iraq.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *