#HABARI: Zaidi ya wagonjwa 85 wamefanyiwa upasuaji bure wa magonjwa mbalimbali ya macho, kwenye kambi ya siku tatu ya macho ya Mo Dewji Foundation, kwa ushirikiano na Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea, mkoani Lindi,ambapo baadhi wameweza kuona na kurejea katika hali zao za kawaida, huku wengine wakipimwa na kupatiwa matibabu mbalimbali ya macho.
Related Posts
#HABARI: Baadhi ya abiria wakiwa wamejazana kwenye Bajaji,huku wakiwa wamebeba dumu la kubebea vitu
#HABARI: Baadhi ya abiria wakiwa wamejazana kwenye Bajaji,huku wakiwa wamebeba dumu la kubebea vitu. Bajaji hiyo ilikuwa ikielekea Feri, ikitokea…
#HABARI: Baadhi ya abiria wakiwa wamejazana kwenye Bajaji,huku wakiwa wamebeba dumu la kubebea vitu. Bajaji hiyo ilikuwa ikielekea Feri, ikitokea…
🔴Taarifa ya Habari ya Saa Mbili Usiku, 26 Julai 2024
🔴Taarifa ya Habari ya Saa Mbili Usiku, 27 Julai 2024 Post Views: 46
🔴Taarifa ya Habari ya Saa Mbili Usiku, 27 Julai 2024 Post Views: 46
#HABARI: Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Askofu Dokta Alex Malasusa, amesema ipo haja ya viongozi wa kidini na…
#HABARI: Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Askofu Dokta Alex Malasusa, amesema ipo haja ya viongozi wa kidini…
#HABARI: Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Askofu Dokta Alex Malasusa, amesema ipo haja ya viongozi wa kidini…