#HABARI: Zaidi ya wagonjwa 85 wamefanyiwa upasuaji bure wa magonjwa mbalimbali ya macho, kwenye kambi ya siku tatu ya macho ya Mo Dewji Foundation, kwa ushirikiano na Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea, mkoani Lindi,ambapo baadhi wameweza kuona na kurejea katika hali zao za kawaida, huku wengine wakipimwa na kupatiwa matibabu mbalimbali ya macho.
Related Posts
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Bi
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Bi. Queen Sendiga, amewataka Watendaji Kata na Maafisa Tarafa wa Mkoa huo, kutatua kero…
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Bi. Queen Sendiga, amewataka Watendaji Kata na Maafisa Tarafa wa Mkoa huo, kutatua kero…
🔴Habari za Saa, Saa Sita na Dakika 55…..Agosti 1, 2024
🔴Habari za Saa, Saa Sita na Dakika 55…..Agosti 1, 2024 Post Views: 35
🔴Habari za Saa, Saa Sita na Dakika 55…..Agosti 1, 2024 Post Views: 35
🔴 KILELE CHA KUMBUKIZI YA 3 YA URITHI WA MKAPA
🔴 KILELE CHA KUMBUKIZI YA 3 YA URITHI WA MKAPA Post Views: 23
🔴 KILELE CHA KUMBUKIZI YA 3 YA URITHI WA MKAPA Post Views: 23