#HABARI: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais ,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mh. Mohamed Mchengerwa, amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya, Miji na Majiji, kutenga fedha za mapato ya ndani 10% kwa mujibu wa sheria za nchi, kwa ajili ya kukarabati na kujenga barabara za mitaa ,ili kuwaondolea adha ya miundombinu mibovu wananchi, na atakayeshindwa kutekeleza agizo hilo ajitathimini kama ana sifa za kuendelea kukaa katika nafasi hiyo.
Related Posts
🔴MEZAHURU – MABADILIKO SHERIA YA KODI 2024-2025, …Julai 29 2024
🔴MEZAHURU – MABADILIKO SHERIA YA KODI 2024-2025, …Julai 29 2024 Post Views: 46
🔴MEZAHURU – MABADILIKO SHERIA YA KODI 2024-2025, …Julai 29 2024 Post Views: 46
#MEZAHURU: ‘NGAO YA JAMII’ Kukutanishwa timu mbili kubwa kwenye mchezo wa kwanza ni sahihi au ndio kukua kwa soka letu?”
#MEZAHURU: ‘NGAO YA JAMII’ Kukutanishwa timu mbili kubwa kwenye mchezo wa kwanza ni sahihi au ndio kukua kwa soka letu?”…
#MEZAHURU: ‘NGAO YA JAMII’ Kukutanishwa timu mbili kubwa kwenye mchezo wa kwanza ni sahihi au ndio kukua kwa soka letu?”…
#KIPIMAJOTO: “Viwango vya kodi vinavyowekwa na Halmashauri maeneo mbalimbali nchini
#KIPIMAJOTO: “Viwango vya kodi vinavyowekwa na Halmashauri maeneo mbalimbali nchini. Je,vinazingatia hali halisi ya kiuchumi eneo husika?” Post Views: 27
#KIPIMAJOTO: “Viwango vya kodi vinavyowekwa na Halmashauri maeneo mbalimbali nchini. Je,vinazingatia hali halisi ya kiuchumi eneo husika?” Post Views: 27