#HABARI: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais ,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mh. Mohamed Mchengerwa, amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya, Miji na Majiji, kutenga fedha za mapato ya ndani 10% kwa mujibu wa sheria za nchi, kwa ajili ya kukarabati na kujenga barabara za mitaa ,ili kuwaondolea adha ya miundombinu mibovu wananchi, na atakayeshindwa kutekeleza agizo hilo ajitathimini kama ana sifa za kuendelea kukaa katika nafasi hiyo.
Related Posts
🔴Habari za Saa, Saa Nane na Dakika 55…..Agosti 02, 2024
🔴Habari za Saa, Saa Nane na Dakika 55…..Agosti 02, 2024 Post Views: 25
🔴Habari za Saa, Saa Nane na Dakika 55…..Agosti 02, 2024 Post Views: 25

Wafanyabiashara wa silaha Yemen wapatikana wakiuza silaha kwenye X
Jermaine Jenas, mchezaji wa zamani wa soka ambaye ni mtangazaji katika kipindi cha The One Show na kuonekana kwenye Match…
Jermaine Jenas, mchezaji wa zamani wa soka ambaye ni mtangazaji katika kipindi cha The One Show na kuonekana kwenye Match…
#HABARI:Asasi ya NMB Foundation kwa kushirikiana na kampuni ya Mwani Zanzibar (ZASCO) wamezindua mafunzo endelevu kwa Wakulima w…
#HABARI:Asasi ya NMB Foundation kwa kushirikiana na kampuni ya Mwani Zanzibar (ZASCO) wamezindua mafunzo endelevu kwa Wakulima wa Mwani Unguja…
#HABARI:Asasi ya NMB Foundation kwa kushirikiana na kampuni ya Mwani Zanzibar (ZASCO) wamezindua mafunzo endelevu kwa Wakulima wa Mwani Unguja…